Ziara ya Mstahiki Meya wa Ilala katika Kata ya Upanga Magharibi na kata ya Buguruni

Na Barnabas kisengi Dar es salaamFebruary  10  2021 Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Mhe Omary Kumbilamoto amefanya ziara yake ya kikazi katika Kata ya Upanga Magharibi pamoja na Kata ya Buguruni katika ziara hiyo Mstahiki aliambatana na Afisa Elimu Manispaa ya Ilala Mwalimu Mussa. Katika Kata ya Upanga Magharibi Mstahiki alitembelea Ujenzi wa Bweni katika