Ziara ya Mstahiki Meya wa Ilala katika Kata ya Upanga Magharibi na kata ya Buguruni
Na Barnabas kisengi Dar es salaamFebruary 10 2021 Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Mhe Omary Kumbilamoto amefanya ziara yake ya kikazi katika Kata ya Upanga Magharibi pamoja na Kata ya Buguruni katika ziara hiyo Mstahiki aliambatana na Afisa Elimu Manispaa ya Ilala Mwalimu Mussa. Katika Kata ya Upanga Magharibi Mstahiki alitembelea Ujenzi wa Bweni katika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed